WANJAPI 2

By UncoJingJong

Released on May 26, 2022

Thumbnail

Verse 1: Uncojingjong

Mbogi yote deep bling, tumepiga luku fisa na madini kaa bila finyo

Tukiadisia mabling

Na minoko zote ni mangoto ka sita, big black mister, bling back mister, big pole insta, bad ka batista

Fresh na di area, rada tukipita

Tushapiga luku kuja tukule wanjapi

Hook:

Piga luku kula waanjapi aha aha waanjapi

Piga luku kula waanjapi wa wa wa wa wa wa wa waanjapi ×2

Verse 2: Uncojingjong

Piga luku kula mboto jump inna dih photooooooh

Ni kama kuna joto vidole ni mangoto

Mangoto moto motoooooooh kwa mkono wa kushoto

Clarks pon clarks ah mih gang fi dih shine

Mambati kwa wingi sijaomba ni za mine

Lagunya Delta ma cat ziko fine

Ka gwanda si oriji don't waste my time

Verse 3 : Maandy

Mi tell my man say tangu lini niparare mimi aje aah kombato usijali sanse halafu pale ig wakule update

We daily ni kaa ni Sunday maziwa mi nina kajale aah luku nilipiga ngware utanipata na ingine tena afte aah fine ting niko freshi thutha na majegi

Comrade huna ticki?

Kanairo utaishi aje luku nayo haitesi?

Hook

Piga luku kula waanjapi aha aha waanjapi

Piga luku kula waanjapi wa wa wa wa wa waanjapi piga luku kula waanjapi aha aha waanjapi

Piga luku kula waanjapi wa wa wa wa waanjapi

Versе 4: Breeder Lw

Piga luku kula wa wa

Big baba nina mambwenya kila kaala

Lola tisho jinare na gwanda

Look fisa ju kuparara ni swara

Luku diriba shingo inamwagika silvеr

Ig iliboo after Vera apate mimba

Umedunga nini ma nike ama addidas?

Pandisia matomi hill figure

Ebu smile for the camera aha aha

Ni safi ju ni fast camera ehe ehe

Step out all white kama table salt

Mangoto mingi ady siezi kuona my fingers crossed

Uki step on my J sema ‘iza’

Gikosh na toy si Garissa

Zero ngovo na zile fubu za issa

Men i’ve been fly kabla fb na insta baba

Hook

Piga luku kula waanjapi aha aha waanjapi piga luku kula waanjapi wa wa wa wa wa wa waanjapi × 2

Verse 5: Lil Maina

Sijui ni sijui ni sijui ni ,sijui ni tusker au ni pilsner hivi aaai ndio inafanya naona mbili mbili

Ateke unataka nini? aaai

Kunipenda manze hiyo ni tricky aaai

Bila uber kuna piki piki

Halafu usitense basi take it easy aaai

Sijui nibaki au nikuje hivi aaai

Manze nimekunoki nimechizichizi aaai

Nacheki buda niko stu aai

Tena shashamane aah aah hi ni flu aah

Wethe na ka shash na nimedi na crew

Vile nimecladi wamepiga statue

Manjapi na mashosho buda hadi babu

Piga luku kula mboto ndio wajue iko new

Bet na madid odds kidogo Man U

Ati “what are we?” kwanza “who are you?” aaai