Chorus
Hawataki tukamate dow (skrrr skrrr)
Sie tubaki baki chini yao
Hawataki tuwe zaidi yao
Sie tubaki baki nyuma yao
>>To see you fallin'
>>kumbee
>>They wanna see you fallin'
>>kumbee
>>they wanna see you down
>>kumbee
>>they wanna see you cry.. they wanna see you cryin'
Verse. 1
>>Money x3 That's what i care bout it
>>Naitaka grammy x3 That's what i dream bout it
(skrrr skrrrr)
>>Ballin' with dawgs make a counted
>>Straight to my dream and ain't worry bout nuthin'
>>These fake niqqas hawachoki kuongea
>>Kumbe washkaji ndio masnitch yumba wapate kuongea
>>Kama kondoo vile kumbe ndani bonge la chui
>>Na ukiwa broke niqqa watu watajifanya hawakujui
>>Kila wanapokaza ndio wanangu wanapo win win
>>Bigger minds tunawaza tu ma big things
>>Palipo pesa ndio kengere inapo ring ring
>>Money paper chaser so wanangu let's win win
Chorus
>>Hawataki tukamate dow (skrrr skrrr)
>>sie tubaki baki chini yao
>>Hawataki tuwe zaidi yao
>>sie tubaki baki nyuma yao
>>To see you fallin'
>>kumbee
>>They wanna see you fallin'
>>kumbee
>>they wanna see you down
>>kumbee
>>they wanna see you cry.. they wanna see you cryin'
Verse. 2
>>Kama game ngumu..pisha njia (pisha njia men)
>>Hater me nahisi unaniskia (unaniskia men)
>>Ukitaka battle nipo here
>>Bebe ako akishoboka naimwagia (F**K F**K)
>>Mungu ana bless we made it
>>We make money and spend it
>>Niqqa u gotta be kiddin'
>>Cause now you fuck with a trapp king
>>Sitaki wana kibao ambao ukiyumba wanaanza ku fake
>>Wanangu wa kweli n real ndio maana unaniona sinaga new friend
>>Kitaani balaa lakini machiz tunakula vitu kinoma
>>Nataka buggati na hustle kitaa wanangu kiufupi mtakoma
>>Sitaki bebe yenye shobo mingi nataka moja niweke
>>Wanangu wanangu wanao wanao kwa story zenu msiniweke