[Intro]
(?)
Hey, hey
Hey, hey, aye
《Yogo on the beats》
[Verse 1: Ruby]
Mmh
Unasema unanipenda una ngapi?
Ha!
Vile uliniambia unaishi wapi?
Pesa huna 'una magari mangapi?
We yako mapozi 'sa nikupeleke wapi?
Basi imba nisikie pengine utanivutia
Cheza kidogo
Oooh
Imba nisikie pengine utanivutia
Aaah
Imba kidogo
[Chorus]
Hey, (Hey)
Hey
Acha niwaze (Niwaze)
Acha nikufukirie (Niwaze)
Acha niwaze (Niwaze)
Oooh (Niwaze)
Acha niwaze (Niwaze)
Acha nikufukirie (Niwaze)
Acha niwaze (Niwaze)
Ni lipi niamue Eeh
(Niwaze)
[Verse 2]
Kitambo 'sina mkwanja unajua
Yaani kama mgambo gwanda langu sijavua
Aah
Umapepе nishatupa kule kule
Tangu enzi za shulе kule
Vicheche nishatupa kule kule
...Aaah
[Hook]
Nimekuchagua we 'uwe wangu unisikize
Wa milele tafadhali usiniumize
[Chorus]
Hey
Acha niwaze (Niwaze)
Acha nikufukirie (Niwaze)
Acha niwaze (Niwaze)
Oooh (Niwaze)
Acha niwaze (Niwaze)
Acha nikufukirie (Niwaze)
Acha niwaze (Niwaze)
Ni lipi niamue Eeh
(Niwaze)
...
[Verse 3]
Uuuh, woah, woah
Ah 'mi hata japo nikikujua jina kwangu sawa
Ah 'ila usizidishe ukaja nitoa dinner ntapagawa
Mi mwenzako uvumilivu sina, we haya
Ntakuganda kama ruba niwe wako chawa
...Aah
Kweli mapenzi nnayo 'pesa na mali sina
Ila ni maisha yapitayo
Kesho nitakuwa na jina, ujivunie
[Hook]
Wema umepitiliza
Mungu kakubariki I say...
Sijaona bae kama we 'haki ya nani, I say...
[Chorus]
Hey
Acha niwaze (Niwaze)
Acha nikufukirie (Niwaze)
Acha niwaze (Niwaze)
Oooh (Niwaze)
Acha niwaze (Niwaze)
Acha nikufukirie (Niwaze)
Acha niwaze (Niwaze)
Ni lipi niamue Eeh
(Niwaze)
[Outro: Ruby]
Basi imba nisikie pengine utanivutia
Cheza kidogo Oooh
Imba nisikie pengine utanivutia Aaah
Imba kidogo
Hey, hey