Yaya

By Rayvanny

Released on July 21, 2023

Thumbnail

[Intro: Rayvanny, Diamond Platnumz, Jux]

Oh lo lo lo lo lo

Chui

Yaya yaya yaya (We Zombie)

Yaya yaya ya (Haujui)

Yaya yaya yaya (S2Kizzy baby)

(Bad man)

Yaya yaya ya (ni Simba na ma Simba Dangote)

Yaya yaya yaya

Yaya yaya ya

Yaya yaya yaya

Yaya yaya ya


[Verse 1: Rayvanny]

Eh, najua na madeni

Na matatizo ya kodi

Ila pesa ya pomba na shisha sikosi

Najua na vipengele

Watu wanapiga hodi

Ah, ila kuhonga mademu wazuri sichoki

Eh eh eh

[Pre-Hook: Rayvanny, DJ Ally Bi]

Kama umemchoka Tuachie sisi (Nasemaje)

Tumle paka mifupa sisi ndio mafisi (Wewe)

Kama umemchoka Tuachie sisi (Asumani)

Tumle paka mifupa sisi ndio mafisi

[Hook: Rayvanny, DJ Ally Bi]

Sawa nimeachika

Ila naburudika

Sipangiwi na mbwa yoyote pesa inatumika

Nimeachika naburudika

Sipangiwi na paka yoyote pombe zinamwagika (Wewe)

[Refrain: All, DJ Ally Bi]

I am a disco dancer (Asumani)

I am a disco dancer

I am a disco dancer

I am a disco dancer

[Chorus: Rayvanny, Diamond Platnumz]

Yaya yaya yaya

Yaya yaya ya

Yaya yaya yaya

Yaya yaya ya

Yaya yaya yaya

Yaya yaya ya

Yaya yaya yaya

Yaya yaya ya (We Zombie)

[Verse 2: Diamond Platnumz, DJ Ally Bi]

Ongeza tena zikiisha zikisha

Mwaga tano tano zidisha zidisha

Bebe ikijipitisha pitisha

Usiku mboga naichumisha chumisha

Eh, wanajita wamjini

Wakati bebe zao tunazila chin chin

Eh, mabisho bling bling

Kazi kulamba lips kitandani no engine

Ladies

Simba, we want that thing

Long long thing

Shoka mpini

Wambie sie mbwa ka wao paka

Wajifunze zungumza kwa mipaka

Demu wako hakufosiwa shanapa

Shobo zake mwenyewe kaitaka (Wewe)

[Pre-Hook: Diamond Platnumz, DJ Ally Bi]

Kama umemchoka Tuachie sisi (Nasemaje)

Tumle paka mifupa sisi ndio mafisi (Wewe)

Kama umemchoka Tuachie sisi (Asumani)

Tumle paka mifupa sisi ndio mafisi

[Hook: Diamond Platnumz, DJ Ally Bi]

Sawa nimeachika

Ila naburudika

Sipangiwi na mbwa yoyote pesa inatumika

Nimeachika naburudika

Sipangiwi na paka yoyote pombe zinamwagika (Wewe)

[Refrain: All, DJ Ally Bi]

I am a disco dancer (Asumani)

I am a disco dancer

I am a disco dancer

I am a disco dancer

[Chorus: Rayvanny, Jux]

Yaya yaya yaya

Yaya yaya ya

Yaya yaya yaya

Yaya yaya ya

Yaya yaya yaya

Yaya yaya ya

Yaya yaya yaya

Yaya yaya ya (Bad man)


[Verse 3: Jux]

Wahuni ndani wananyonga wida

Ukitaka puff pass njoo barida

Ashura, amina njoo farida

Waambie bwana zenu hatutaki shida (hey)

[Pre-Hook: Jux, DJ Ally Bi]

Kama umemchoka Tuachie sisi (Nasemaje)

Tumle paka mifupa sisi ndio mafisi (Wewe)

Kama umemchoka Tuachie sisi (Asumani)

Tumle paka mifupa sisi ndio mafisi

[Middle 8: Rayvanny, Jux]

Show me what you got

Chikiti chikiti chikiti chiki

Chikiti chikiti

Unachezaje

Chikiti chikit chikiti chiki

Chikiti chikiti

Show me what you got

Chikiti chikiti chikiti chiki

Chikiti chikiti

Unachezaje

Chikiti chikit chikiti chiki

Chikiti chikiti

[Hook: Diamond Platnumz, DJ Ally Bi]

Sawa nimeachika

Ila naburudika

Sipangiwi na mbwa yoyote pesa inatumika

Nimeachika naburudika

Sipangiwi na paka yoyote pombe zinamwagika (Wewe)

[Refrain: All, DJ Ally Bi]

I am a disco dancer (Asumani)

I am a disco dancer

I am a disco dancer

I am a disco dancer


[Chorus: Rayvanny]

Yaya yaya yaya

Yaya yaya ya

Yaya yaya yaya

Yaya yaya ya

Yaya yaya yaya

Yaya yaya ya

Yaya yaya yaya

Yaya yaya ya


[Outro]

Ka mix Lizer