Penzi

By Rayvanny

Released on June 29, 2016

Thumbnail

[Verse 1: Rayvanny & Harmonize]

Nawaza kwa nini sikumjuaga zamani, oh mama

Pendo lake zito mpaka lavunja mizani, oh mama

Yeye na mimi kachoo nisharuka nyie oh mama

Wasiojua mapenzi pole jamani

Ati alikuwa bachelor, aibu gani

Aliyeumba dunia akayaumba na mapenzi

Wala hakukosea, ila mwezenu mi siwezi

Nilishapenda ila nikatendwa

Moyo ulidunda maskini roho

Mbona nilikonda licha ya kuhonga

Kuweka viwanda nishaomba poo

Mwenzangu bado hujajua, baki unicheke

Kwako yamechanua, ngoja yanyauke

Andazi si kitumbua acha mapepe

Ukipendwa tanua kwa nini nisideke?

[Chorus: Rayvanny & Harmonize]

Jamani nimependa mi, nimependa mi

Nimependa mi nataka nimweke ndani

Mwenzako, nimetendwa mie, nimetendwa mie

Nimetendwa mi, mapenzi siyatamani

Jamani nimependa mi, nimependa mi

Nimependa mi nataka nimweke ndani

Mwenzako, nimetendwa mie, nimetendwa mie

Nimetendwa mi, mapenzi siyatamani

[Verse 2: Rayvanny & Harmonize]

Maana mapenzi ya bara kayachanganya na pwani

Vipi nitajinasua

Rangi kama chokaa, la ajabu sio mGermany

Marsh huzibi pua, ooh

Ameumbika sina budi nisifie

Akipika natamani nilipie

Sehemu ya ubaga uliweka kiwembe

Ndio maana mwasi, akaona ajijenge

Wewe kwako sikia (Sikia mwana)

Ila kwako utalia (Utalia sana)

Pili nilikuwaga fundi (Fundi zaidi yako)

Mpewa ka mirundi, nikiganda kama sumako

Ninakutia pesamadegenye (Asiniache)

Eh, na nikamchanganya akolee (Asiwapee)

Mpenzi upepo wa bahari, mara kusi shwari

Yakichanja ni hatari na usiombee

[Chorus: Rayvanny & Harmonize]

Jamani nimependa mi, nimependa mi

Nimependa mi nataka nimweke ndani

Mwenzako, nimetendwa mie, nimetendwa mie

Nimetendwa mi, mapenzi siyatamani

Jamani nimependa mi, nimependa mi

Nimependa mi nataka nimweke ndani

Mwenzako, nimetendwa mie, nimetendwa mie

Nimetendwa mi, mapenzi siyatamani

Jamani nimependa mi, nimependa mi

Nimependa mi nataka nimweke ndani

Mwenzako, nimetendwa mie, nimetendwa mie

Nimetendwa mi, mapenzi siyatamani