Released on November 11, 2022

Thumbnail

[Intro: Rayvanny& Diamond Platnumz]

Weka shida chini glasi juu tujipongeze

Usijali wanafki wambea chapa mziki, wote tucheze

Haha, Vanny Boy

Chui

Platnumz

(S2kizzy baby)


[Verse 1: Diamond Platnumz]

Ah maswali mengi kwa waiter

Hauna hela nini? (Eti)

Hiyo shi' ngapi, hii shi' ngapi?

Hauna hela nini? (Eti)

Maswali mengi kwa waiter

Hauna hela nini? (Eti)

Ile shi' ngapi, hii shi' ngapi, hauna hela nini?


[Pre-Chorus: Rayvanny]

Nimeachwa staki tena maswali

Naenda beachi kula upepo wa bahari

Naumwagilia moyo mziki kwa mbali

Jimbo liko wazi sema nitakubali


[Chorus: Diamond Platnumz]

Ati unanitaka?

Eti unanipenda? (Basi nitongoze)

Unanitaka?

Eti unanipenda? (Basi nitongoze)

Unanitaka?

Eti unanipenda? (Basi nitongoze)

Eish, unanitaka?

Eti unanipenda? (Basi nitongoze)

Eh bwana we


[Verse 2: Rayvanny]

Hela ya kodi nainywea pombe

Baba mwenye nyumba akileta fyoko natia makonde

Na kama hayanogi mapenzi usikonde

Akiringa akwende chukua mwinginе sio kinyonge


[Refrain: Diamond Platnumz]

Osh yu kwapi?

Enh yu kwapii huyo? (Basi nitongoze)

Yu kwapi?

Yu kwapi huyo? (Basi nitongoze)

Yu kwapi?

Yu kwapi huyo? (Basi nitongozе)

Yu kwapi?

Yu kwapi huyo? (Basi nitongoze)


[Pre-Chorus: Rayvanny]

Nimeachwa staki tena maswali

Naenda beachi kula upepo wa bahari

Naumwagilia moyo mziki kwa mbali

Jimbo liko wazi sema nitakubali


[Chorus: Diamond Platnumz]

Ati unanitaka?

Eti unanipenda? (Basi nitongoze)

Unanitaka?

Eti unanipenda? (Basi nitongoze)

Unanitaka?

Eti unanipenda? (Basi nitongoze)

Unanitaka?

Eti unanipenda? (Basi nitongoze)

Eh bwana we


[Outro: Rayvanny]

(S2kizzy baby)

Zombie

Onyesha boxer ash tuone boxer aosh

Nyanyua shati ingia kati tuone boxer

Onyesha boxer ash tuone boxer aosh

Nyanyua shati ingia kati tuone boxer