Released on December 13, 2024

Thumbnail

[Intro]

Yeah!

(Aah-aah)

Chui (ooh-ooh)

(S2kizzy baby)

Naoa ye', naoa ye', naoa ye', naoa ye', naoa ye', ah-ah-ah


[Verse 1 : Rayvanny]

Hanaga CV ya kuachika, aliwaacha wote alokuwa nao before

Mikono yake sio ya kupika, ni kunishika, shika na kunihesabia dough

Kuku tetea ametulia, show-show time ona anavyopanda jogoo

Mahari kwao nitatoa na mia, wakitaka ng'ombe nitawaongeza kondoo


[Bridge : Rayvanny]

Una balaa, baby, una balaa

Una balaa, baby, una balaa

Una balaa, baby, una balaa

Hata wakikataa, baby we ni kifaa, iyoo

Utamu nipunguze ama niongeze, baby (aah, ongeza)

Mahaba nikupe yote ama yanatosha, baby (aah, baby, ongeza)

Utamu nipunguze, niongeze, baby (aah ongeza)

Ndizi na nini, muhogo, baby (aah, baby, ongeza)


[Chorus : Rayvanny]

Naoa, eh-eh, naoa ye'

Naoa, siwadanganyi, naoa

Naoa, eh-eh, naoa ye'

Naoa hiki chombo, naoa

Naoa, eh-eh, naoa ye'

Naoa, siwadanganyi, naoa

Naoa, eh-eh, naoa ye'

Naoa hiki chombo, naoa


[Verse 2 : Alikiba]

Mi' nimеmisi penzi internationally

Sio kifisi, fisi mahaba ya Kisomali, oh

Ooh, wajua mimi siwezi kukuacha wеwe

Nataka uishi na mimi, usiniache, nisikuache, oh-oh, please

Ah-ah-ah, nimetandika busati, keti kwenye roho, oh

Mkali kuogesha marashi, eh, oh


[Bridge : Alikiba]

Kama unakuja, kama una go

We' na malaika, Kurwa na Dotto

Yanayonivuta, mahaba yako

Mama nakuita uje Kariakoo


[Chorus : Rayvanny & Alikiba]

Naoa ye', naoa

Naoa ye', naoa

Ali, naoa, naoa

Naoa ye', naoa

Naoa ye', naoa (ah)

Naoa (naoa yeye) ye', naoa

Ali, naoa, naoa (oh)

Naoa (naoa yeye) ye', naoa


[Outro : Alikiba]

Oh, naoa ye, eh-ih

Oh-whoa, oh, oh-oh

Yup!

Ali leo naoa ye', eh-ih

(Kamix Lizer)