Mbeleko

By Rayvanny

Released on June 10, 2017

Thumbnail

[Verse 1]

Walisemaga duniaaaa, ina mapambo yake

Ukiacha majumba pesa magari ni wanawake

Nimezunguka nimefika kwake

Siwezi ficha nimeshanasa kwa pendo lake

Rabana kakuumba kimwana mwenye sifa ya upole

Hata mama kakusifu sana

Ni tofauti na wale wa jana

Kule nilizama

Tafadhali niokoe mama ma

Unipulize nipoe


[Pre Chorus]

We ndo my queen baby my only

Sitopenda wende mbali one day

We ndo my queen baby my only

Sitopenda uende mbali one day


[Chorus]

Naficha mbeleko kwa ajili yako

Jiachie tu nikubebe

Naficha mbeleko kwa ajili yako

Jiachie tu nikubebe

We kama mtoto minakubembeleza

Jiachie tu nikubebe

Najicho lako la kungu kama lanikonyeza

Jiachie tu nikubebe


[Verse 2]

Mmmhh mh

Umenivuta kwa urembo mpaka matendo umenikamata

Kisura shape sio tembo nitaweka nembo watoto kupata

Umenivuta kwa urembo mpaka matendo umenikamata

Kisura shape sio tembo nitaweka nembo watoto kupata

Koleza moto tupike tembele

Kisamvu cha nazi njegere

Zisikutishe kelele sikuachiii

Linda na shamba wasije ngedere

Kuku niite kwa mchele

Mi sipigani na wewe

Mi natii

Ndio maana kwako nimezama

Sitaki mi wanitoe mama ma

Unipulize nipoe


[Pre Chorus]

We ndo my queen baby my only

Sitopenda wende mbali one day

We ndo my queen baby my only

Sitopenda uende mbali one day


[Chorus]

Naficha mbeleko kwa ajili yako

Jiachie tu nikubebe

Naficha mbeleko kwa ajili yako

Jiachie tu nikubebe

We kama mtoto minakubembeleza

Jiachie tu nikubebe

Najicho lako la kungu kama lanikonyeza

Jiachie tu nikubebe

Naficha mbeleko kwa ajili yako

Jiachie tu nikubebe

Naficha mbeleko kwa ajili yako

Jiachie tu nikubebe

We kama mtoto minakubembeleza

Jiachie tu nikubebe

Najicho lako la kungu kama lanikonyeza

Jiachie tu nikubebe


[Outro]

Jiachie tu nikubebe

Jiachie tu nikubebe

We kama mtoto minakubembeleza

Najicho lako la kungu kama lanikonyeza