Mama (Unplugged Session)

By Rayvanny

On Unplugged Sessions (2022)

Released on November 25, 2022

Thumbnail

[Verse 1]

Kabla haijanijua dunia (Aah) ulinijua mama

Kabla sijajua jina langu nilitaja jina lako mama

Kwenye maisha magumu ulinionyesha tabasamu lako

Ulipopitia machunguu ulificha nisione chozi lako

Mzigo wa majukumu bado hukunitupa damu yako

Hata nikupe nini bado sitolipa wema wako

Uliningojea mama kama sijaanza kunyonya

Nikatambaa nikatembea ukabangaiza nikasoma

Nakuombea mama nina imani unaniona

Dunia nzima inikatae upendo wako hautokoma


[Chorus]

I love you uh-uh mama (Mama eeh)

I love you uh-uh mama (Mama eeh)

I love you uh-uh mama (Mama eeh)

I love you uh-uh mama

Mama mama

We mama yangu

Mama mama

I love you mama

Mama mama

We mama weeh

Mama mama

Mama eeh


[Verse 2]

Awe kilema, awe kipofu ni mama

Awe maskini, mgonjwa wa akili ni mama

Hata awe bubu, haongei ni mama

Awe omba omba, barabarani ni mama

Kuna mwinigine amenyanyasika kwa ndugu na jamaa

Mwisho akafukuzwa na kuranda randa kwenye mitaa

Jua lake, mvua yake, nateseka na njaa

Kichwani mawazo, muda wote, ameshika tama

Anabaki akisema uko wapi mama?

Rudi nikuone nateseka sana

Aah ye-yeh

Uko wapi mama

Mwanao nakumiss pumzika salama hee


[Chorus]

I love you uh-uh mama (Mama eeh)

I love you uh-uh mama (Mama eeh)

I love you uh-uh mama (Mama eeh)

I love you uh-uh mama

Mama mama

We mama yangu

Mama mama

I love you mama

Mama mama

We mama weeh

Mama mama

Mama eeh