Released on February 10, 2022

Thumbnail

[Verse 1]

Hata wajiweke filter

Uzuri wa sura yako hawatafika ooh

Mama umekamilika ooh

Wasiokupenda ona wanakunja ndita ooh

Na unajua kupika ooh

Nikishakula natamani kukulipa oh

Hakuna kitu ananificha sa' katongozeni nije kuwaaibisha oh


[Pre Chorus]

Mungu kakupendelea ndo maana unaringa

Geuka shepu ina bembea ndo maana unavimba

Na hizo dimple ukinichekea nyusi umezitinda

Nipe nitakupelekea wiki tunamimba, aah

Nikitoka leo kongoni nishuke uvinza, Aah

Ukinipa kinondoni nikuombe sinza, aah

Hizi cassava kamenyamenya

Akibana inapenya penya

Manzi wa kanairo Kenya Kenya

Kwenye giza nimekatekenya


[Chorus]

Mtoto fundi we, fundi aah

Fundi eeh, anayajua mama

Mtoto fundi aah, fundi aah

Fundi eeh, anayajua mama

Mtoto fundi we, fundi aah

Fundi eeh, anayajua mama

Mtoto fundi aah, fundi aah

Fundi eeh, anayajuaaa


[Verse 2]

Uno la kidigo sura ya kimasai

Shepu la kinyaki afro nywele Dubai

Meno ya kichaga Oldonyo Lengai

Haikatoks, haikatai

Ma, sweety nyonya hio ka pipi

Ukikalia kwa kiti, pressure hio ni bidii


[Pre Chorus]

Mungu kakupendelea ndo maana unaringa

Geuka shepu ina bembea ndo maana unavimba

Na hizo dimple ukinichekea nyusi umezitinda

Nipe nitakupelekea wiki tunamimba, aah

Nikitoka leo kongoni nishuke uvinza, Aah

Ukinipa kinondoni nikuombe sinza, aah

Hizi cassava kamenyamenya

Akibana inapenya penya

Manzi wa kanairo Kenya Kenya

Kwenye giza nimekatekenya


[Chorus]

Mtoto fundi we, fundi aah

Fundi eeh, anayajua mama

Mtoto fundi aah, fundi eeh

Fundi aahh, anayajua mama

Mtoto fundi we, fundi aah

Fundi eeh, anayajua mama

Mtoto fundi aah, fundi eeh

Fundi aah, anayajua mama

KamixLizer