Amaboko

By Rayvanny

Released on June 26, 2020

Thumbnail

[Intro: Rayvanny & Diamond Platnumz]

Mwaga maji tucheze kama kambale

Leo ni Vanny Boy

Yupo na mtoto wa Tandale

Aii

S2Kizzy, baby

Wasafi...

[Chorus: Rayvanny & Diamond Platnumz]

Amaboko (eh...amaboko)

Amagulu (eh...amagulu)

Amaboko (eh...amaboko)

Amagulu (eh...amagulu)

Ah, gbese


[Refrain: Diamond Platnumz]

To to li, to to, to

To to li, to to, to

To to li, to to, to

To to li, to to


[Verse 1: Rayvanny]

Watoto wa bibi

Wanacheza kote mpaka kwenye matope

Wanavua wigi

Kama wamegombana na ebitoke

Fanya kama unadukua (twende sasa)

Unanengua (twende sasa)

Unapika na pakua (twende sasa)

Aii, chukua (twende sasa)

Nasema po po po po (tunakesha po po)

Leta chupa kwa chupa na moshi tulewe (tunakesha po po)

Nasema po po po po (tunakesha po po)

Shika pesa tusepe silali mwenyewe (tunakesha po po)

Anasasambua (kalewa)

Anakibinua (kalewa, lewa)

Anajichetua (kalewa)

Ayayayaya (kalewa, lewa)

[Chorus: Rayvanny & Diamond Platnumz]

Amaboko (eh...amaboko)

Amagulu (eh...amagulu)

Amaboko (eh...amaboko)

Amagulu (eh...amagulu)

Ah, gbese


[Refrain: Diamond Platnumz]

To to li, to to, to

To to li, to to, to

To to li, to to, to

To to li, to to


[Verse 2: Diamond Platnumz]

Asa baby show

Show onyesha alichokupa mama

Baby ko

Komesha usijali lawama

Kana sipidi di di (di)

Mwendo 4G ji ji ji (ji)

Katoto gwiji gwiji (ji)

Kwenye kujigi jigi (ji)

Venye nyomi kijiji

Manyoni itigigi

Twende mpaka morning kibidi

Nizami shimoni kimbiji

Eh, katoto kana papara (para)

Kupigwa nyembe kipara (para)

Namvuta kama sigara (ra ra ra)

Nasema po po po po (tunakesha po po)

Tembeza cha ukucha na monde tulewe (tunakesha po po)

Hana ngu po po po po (tunakesha po po)

Kama Kigoma vute usilale mwenyewe (tunakesha po po)

Ayaya (kimempanda)

Oh, kidaruso (kimempanda)

Kaisha leo (kimempanda)

Namsomba kama fuso (kimempanda)

Umo

[Chorus: Rayvanny & Diamond Platnumz]

Amaboko (eh...amaboko)

Amagulu (eh...amagulu)

Amaboko (eh...amaboko)

Amagulu (eh...amagulu)

Ah, gbese


[Refrain: Diamond Platnumz]

To to li, to to, to

To to li, to to, to (aii...)

To to li, to to, to

To to li, to to

(Ka mix Lizer)

[Reprise: Rayvanny & Diamond Platnumz]

Mwaga maji tucheze kama kambale

Leo ni Vanny Boy

Yupo na mtoto wa Tandale (aii...)

Mwaga maji tucheze kama kambale (umo)

Leo ni Vanny Boy

Yupo na mtoto wa Tandale


[Outro: Diamond Platnumz]

Sa chezesha kileso (kileso)

Eh, kileso, kileso (kileso)

Sa zungusha kileso (kileso)

Eh, kileso, kileso (kileso)

Aga kama unakibana kwa kwapa (kileso)

Kilete kwa hapa (kileso)

Kama unarusha unataka (kileso)

Ehen, swadakta (kileso)