(CHORUS X2 )
One time nilitaka kuwa Gaza
Wannabe gangster sikurada
I was like 14 unambata
SnapBack chain na mapete Kama smarta
(VERSE 1 )
Anadai nimpee gift me si santa
Lyrically hii doba ikona ladha
Boys wangu akona pedi na ni matha
Ako mavitu na mkoro alimkanya
Forward travellers ye hupanda nganya
Puff one two high amenyanya
Zilimshow Ati anaeza sanya
Snitch kumbe dem wake alimpeana
Nivibad, wasee walifanywa
Saa hii uyo boy ako jela alibambwa
Ata heri jela even worse ange madwa
Boy Angekuwa msanii mkubwa sana
(CHORUS X3)
One time nilitaka kuwa Gaza
Wannabe gangster sikurada
I was like 14 unambata
SnapBack chain na mapete Kama smarta