Released on November 9, 2018

Thumbnail

[Verse 1]

Thamani na sura yako

Ndo inafanya mwenzangu ujidai

Usiringe alokupa naye

Iko siku atakuja kudai

Sina thamani mi hunukia ya zamani

Kisa umemuona kishkwambi

Umenikana kuwa rafiki hadharani

Kweli penzi chachu tena silambi

Eeh bora ungekuwa wazi kuwa hunitaki

Ningemiliki kuwa lonely

Kuliko penzi kuwa chachu

Ya maisha yangu furaha yangu nisiione


[Pre Chorus]

Eeh mwana wa mwenzio

Mwana Christina

Nafsi yangu kuishi na kinyonge

Zinasema 'Hi'


[Chorus]

Ukiniacha nitakufa mazima

Sio sawale, sio sawale

Ukiniacha nitakufa mazima

Itakuwa hatare, itakuwa hatare

Ukiniacha nitakufa mazima

Sio sawale, sio sawale

Ukiniacha nitakufa mazima

Itakuwa hatare, itakuwa hatare


[Verse 2]

Muda mwingine nawaza sababu ya kununiana

Au labda mwenzangu bado una uvulana

Makusudi visa na dharau kupigana (huzuni)

Mi ubavu wako wa kushoto nimeumwa

Aibu huoni ahh

Aya ya ya ya

Aya ya ya ya

Aya ya ya ya

Muda mwingine nawaza sababu ya kununiana

Au labda mwenzangu bado una uvulana


[Pre Chorus]

Mi mwana wa mwenzio

Mwana Christina

Nafsi yangu kuishi na kinyonge

Zinasema 'Hi'


[Chorus]

Ukiniacha nitakufa mazima

Sio sawale, sio sawale

Ukiniacha nitakufa mazima

Itakuwa hatare, itakuwa hatare

Ukiniacha nitakufa mazima

Sio sawale, sio sawale

Ukiniacha nitakufa mazima

Itakuwa hatare, itakuwa hatare


[Outro]

Ukinicha nitakufa mazima baba

Oh mazima baba

Mazi-mazima, mazima baba

Oh yea yeah

Mazima baba

Itakuwa hatare