Released on November 9, 2018

Thumbnail

[Verse 1]

Nilipotoka nilipona

Na vijimateso nilionja

Mola ananiongoza

Najiepusha na ulofa

Niko huku Ako kule

Huyu ndio Mungu bwana hawezi vuruga game

Na we ndo kinara huku Ako kule

Ameninyoosha Sana nijajitambua


[Chorus]

I am powerful, sababu yako

Cause you're powerful, zaidi yao

Madugudugu, shauri zao

Amani moyoni, kutoka kwako


[Hook]

Zaidi, zaidi yao, zaidi

Zaidi, zaidi yao, zaidi

Zaidi, zaidi yao, zaidi

Zaidi, zaidi yao, zaidi


[Verse 2]

Wahenga wahenga walisema aliyejuu mngojee chini

Mimi msichana was kisasa siwezi suburia chini

Niko gadogado, napambana bado

Imani yangu kwako ndo nguzo kwako

Niko gadogado, napambana bado

Imani yangu kwako


[Chorus]

I am powerful, sababu yako

Cause you're powerful, zaidi yao

Madugudugu, shauri zao

Amani moyoni, kutoka kwako

I am powerful, sababu yako

Cause you're powerful, zaidi yao

Madugudugu, shauri zao

Amani moyoni, kutoka kwako


[Bridge]

Walisema Sina na sitoweza weza kupata na ndo maana leo(wamefyata)

Walisema Sina nyota yangu ya punda ndo maana leo


[Chorus]

I am powerful, sababu yako

Cause you're powerful, Zaidi yao

Madugudugu, shauri zao

Amani moyoni, kutoka kwako

I am powerful


[Hook]

Zaidi, zaidi yao, zaidi

Zaidi, zaidi yao, zaidi

Zaidi, zaidi yao, zaidi

Zaidi, zaidi yao, zaidi


[Outro]

Sababu yako

Zaidi yao

Shauri zao

Kutoka kwako

Sababu yako

Zaidi yao

Shauri zao

Kutoka kwako

Cause I'm powerful