[Intro]
Yeah aah aah aahaah mmh
[Verse 1]
Uzuri wako mashallah na macho yako ndo balaa
Sauti yako noma sana na mwendo wako ndo balaa
[Pre Chorus]
Ni miujiza moto faya uzuri kakupa nani
Unaumiza mambo mbaya nuksi huko nyumbani
Ni miujiza moto faya uzuri kakupa nani
Unaumiza mambo mbaya nuksi huko nyumbani
[Chorus]
Me hazipo
Hazipo
Kwajili yako mwenzio me hazipo baba
Hazipo
Akili me hazipo bwana
Hazipo
Kwajili yako mwenzio me hazipo baba
Hazipo
Ayaaah aaaah eeeh yeeee iyeye iyeye
[Verse 2]
Stimu nyingi kichwani akili zangu baba aaah aaah
Sijitamani nifikirie sana aaaah
Usinipe maruani me moyo utaamaa na mashetani yanapenda kwa manaa aaah
[Pre Chorus]
Ni miujiza moto faya uzuri kakupa nani
Unaumiza mambo mbaya nuksi huko nyumbani
Ni miujiza moto faya uzuri kakupa nani
Unaumiza mambo mbaya nuksi huko nyumbani
[Chorus]
Me hazipo
Hazipo
Kwajili yako mwenzio me hazipo baba
Hazipo
Akili me hazipo bwana
Hazipo
Kwajili yako mwenzio me hazipo baba
Hazipo
[Verse 3]
Takuwa sina bahati ukisema hautaki utauwa mapigo
Penzi la supu baba ukieka nazi hatari mzigo
Takuwa sina bahati ukisema hautaki utauwa mapigo
Penzi la supu baba ukieka nazi hatari mzigo
Jaribu kuwa smart nipe mahabati tu japo kidogo
Oooh mie wazimu baba kichwani mwangu mwenzio hazipo
[Chorus]
Mwenzio mie hazipo
Hazipo
Kwajili yako mwenzio me hazipo baba
Hazipo
Akili me hazipo bwana
Hazipo
Kwajili yako mwenzio me hazipo baba
Hazipo ooh yeah
Hazipo ooh yeah
Hazipo ooh oh wee