[Verse 1]
Huba langu nilikupa sioniieeh
Upendo wangu ukautupa jahaniih
Kumbe doriani tamu mdomoni harufu puani
Usi na uzio ya chumbani wayatoa hadharani
Acha niupete niupete nisije ula chuyaah
Acha niyabwage niyabwage gubu sijazoeah
Acha niupete niupete nisije ula chuyaah
Acha niyabwage niyabwage gubu sijazoeah
Ayaaah ayaaah aaaah ayaah
[Pre Chorus]
Wala si malumbano imejawa mifano
Wakileta maneno siwakohoi
Wala si malumbano imejawa mifano
Wakileta maneno siwakohoi
Halo halo
[Chorus]
Kiroho papo papo
Huba la roho yako
Kiroho papo papo
Huba la roho yako
[Verse 2]
Singo nililosingwaah nimesingwa unyagoni
Kachiri wee funga mkanda mbona yako huyaneni
Acha nitete, nitete roho yangu
Usikurupuke ukapoteza mudi yangu
Sikupata tafadhali unikeshesha
Hukujali yangu hali
Kutwa kunichoreesha
[Pre Chorus]
Wala si malumbano imejawa mifano
Wakileta maneno siwakohoi
Wala si malumbano imejawa mifano
Wakileta maneno siwakohoi
Halo halo
[Chorus]
Kiroho papo papo
Huba la roho yako
Kiroho papo papo
Huba la roho yako
Kiroho papo papo
Huba la roho yako
Kiroho papo papo
Huba la roho yako