[Verse 1]
Kuna maneno ya kusikia sikupendi utaambiwa
Sio ishu ni hatari usije ukayasikia
Mwenyewe umenisifia mwendo wangu wa ngamia
Taratibu bwana darling usije ukayasikia
[Pre Chorus]
Usije niacha wakati nakupenda sana
Eeh bwana we me nitapagawa
Mambo madogo kelele za kusemezana
Nielewe, mambo weka sawa
Usije niacha mwenzako ntamisi matukio wo wo wo
Kama ulaya wanavyofanyagaa
Utanipa donda hapo hapo nikianzishe kilio wo wo wo
Baba ubaya Usije ni bwagaa nakupenda
[Chorus]
Bado, nakupenda baba
Bado, laazizi
Bado, usininyime utamu
Bado, nakupenda
Badon, nakupenda bwana
Bado, ooh wangu Mimi
Bado, yeah yeah yeah
Bado
Mh
[Verse 2]
Hutumii vumio bwana samaki sio supu ya nyanya
Mambo ng'ari ng'ari habari zinapatikana
Na maneno Ndo mengi sana usishike moja tazama
Nipe vya asali kachumbari pilipili Kwa sana
[Pre Chorus]
Usije niacha wakati nakupenda sana
Eeh bwana we mi nitapagawa
Mambo madogo kelele za kusemezana
Nielewe Mambo weka sawa
Usije niacha mwenzako nitamisi matukio wo wo wo
Kama ulaya, wanavyofanyaga
Utanipa donda Kwa hapa nikianza shikilia wo wo wo
Baba ubaya Usije ni bwaga nakupendaa
[Chorus]
Bado, nakupenda baba
Bado, laazizi
Bado, usininyime utamu
Bado, nakupenda
Badon, nakupenda bwana
Bado, ooh wangu Mimi
Bado, yeah yeah yeah
Bado
Yeah yeah yeah
[Outro]
Hutumii vumio bwana
Samaki sio supu ya nyanya
Mambo ng'ari ng'ari
Habari zinapatikana
The African princess