Released on March 9, 2021

Thumbnail

[Intro]

Ayo, Lizer


[Verse 1: Mbosso]

Eh

Kako fine

Kila nikikaaga kwenye line

Bila bila

Shwaain

Kwake nimelewa kama wine

Tilalila

Ye sisimizi nami gegedu tuna gegeduana (gegeduu)

Nilivyo sina jizi

Tajiri wa mbegu

Namuhonga na mwana

Baba Mndenge, Mama Mzaramo

Uno lake la kurithi (ah ah eh)

Kafunga tenge mwali chakaramu

Shetani mwana ibirisi

Jipu (jipu)

Uchungu (uchungu)

Mwana nyuma umejeza kishundundu

Kwenye zipu (zipu)

Kuna kirungu (kirungu)

Usikamate utawaita wazungu

Eh hey

Babu mkuna nazi (mkuna nazi)

Kachutama kishinani

Na msuli wake ukowazi (ukowazi)

Mambo yote hadharani


[Hook: Diamond Platnumz]

Oh go go go go go

Mtoto anadaka Golikipa lunyamila

Wabeja

Tena akikata anautikisa msambwandila

(Mbrrokee)


[Chorus: Diamond Platnumz]

Baby, aje unanichezaga (baikoko)

Unavyo baby (baikoko)

Unavyo inyonga (baikoko)

Eh, waonyeshe (baikoko)

Baby, aje unanichezaga (baikoko)

Unavyo baby (baikoko)

Unavyo inyonga (baikoko)

Eh, waonyeshe (baikoko)


[Post-Chorus: Mbosso]

Asa komеsha dengua, dengua

Baby dengua, dеngua

Ringa dengua, dengua

Deka dengua

Dengua wakuone


[Verse 2: Diamond Platnumz]

Kananivua ndala miguu

Anataka nipite peku (peku peku)

Kunduchi juu

Anifikishe kwetu (kwetu kwetu)

Eh, utamu ladha ya kitumbua

Rojo ya embe kibada (kibada)

Hodari kunengua

Miuno ya ushubwada (ushubwada)

Nyuma kalisasambua

Kafungasha midabwada (bwada)

Anavyotafuna mua

Ka kibogoyo dada

Katoto kamelainika bwana (bwana)

Kukapa ndizi banana (na na)

Nakapeleka kwa mama (Mama, Mama Dangote)

Kama kuku twakimbizana (zana)

Kanaibuka kanazama (zama)

Kamwali kana balaa na Lana (Lana, Lana Kazote)


[Hook: Diamond Platnumz]

Ebo

Mtoto anadaka Golikipa lunyamila

Wabeja

Tena akikata anautikisa msambwandila

(Mbrrokee)


[Chorus: Diamond Platnumz]

Baby, aje unanichezaga (baikoko)

Unavyo baby (baikoko)

Unavyo inyonga (baikoko)

Eh, waonyeshe (baikoko)

Baby, aje unanichezaga (baikoko)

Unavyo baby (baikoko)

Unavyo inyonga (baikoko)

Eh, waonyeshe (baikoko)


[Post-Chorus: Mbosso]

Asa komesha dengua, dengua

Baby dengua, dengua

Ringa dengua, dengua

Deka dengua

Dengua wakuone

[Bridge: Diamond Platnumz, Mbosso, Both]

Kama anaifata

Anainama

Anainuka mwali anaisusa

Kwa kujishebedua

Anainama

Anainuka mwali anaisusa

Kama hataki mwali

Anainama

Anainuka mwali anaisusa

Kwa madoidoi

Anainama

Anainuka mwali anaisusa

Mbrrokee


[Outro: Diamond Platnumz]

Ka mix Lizer

Wasafi...