Alele

By Mbosso

Released on February 9, 2018

16K Views

Thumbnail

[Intro]

Hhhhmm

Oooh Ooooh Oh!

Iyooo Lizer

Hhhmm


[Verse 1]

Nyama zetu za ulimi

Zikikutana asali

Bonyea chini

Chagama kama tayari

Leo tule nini

Mihogo ya Coco kwa kachumbari

Si unanjuaga mimi

Kitandani huwa hodari

Kama umeniroga (Aaaah eeh)

Mganga wako fundi mama

Ameniweza (Nilichomeza me sijatema)

Chumvi kwa kikogwa

Wali maini ndizi nyama

Umenilegeza (Ukinigusa tuu natetema)


[Bridge]

Nikishuka kifuani baby

Naomba nipate supu

Ya nyama laini kama mapupu

Yale ya gizani baby

Nje tusiyaruhusu

Kwa majirani

Wambea wakina lufufu


[Chorus]

Hhhhmm Uuh

Aaah Ah

Alele lele

Inzi wangu kidonda ning'ong'ozoe

Alele lele

Hhhhmm Uuh

Aaah Ah

Moyo wangu udongo umong'ong'onyoe

Alele lele


[Verse 2]

Asubuhi niamshe

Kabla ya kwenda kazini Jogging

Kijasho kitoke

Ukihisi nachoka piga firimbi

Ooh unikamate

Kama nayumba shika ngingingi

Wachefukwe mate

Maembe mabichi uwape mbilimbi

Utamu wangu mimi

Waujua wewe

Penzi tubane na pini

Iwe siri yetu wenyewe

Muhindi wa kusini

Mwenye mapenzi tele

Kibiti hakuna madini

Tukawinde tetele


[Bridge]

Nikishuka kifuani baby

Naomba nipate supu

Ya nyama laini kama mapupu

Yale ya gizani baby

Nje tusiyaruhusu

Kwa majirani

Wambea wakina lufufu


[Chorus]

Hhhhmm Uuh

Aaah Ah

Alele lele

Inzi wangu kidonda ning'ong'ozoe

Alele lele

Hhhhmm Uuh

Aaah Ah

Moyo wangu udongo ung'ong'onyoe

Alele lele


[Outro]

Hhhmm

Kesho twende Mbagala kwa mama eh

Aaaaah eeh Aaah eh

Sio mbali twende hata baade

Aaaaah eeh Aaah eh

Baby tafadhali fanya ujiandae

Aaaaah eeh Aaah eh

Kumbuka baibui kimini usivae

Aaaaah eeh Aaah eh

Upajue nyumbani baby

Aaaaah eeh Aaah eh

Na wakujue nyumbani baby

Aaaaah eeh Aaah eh

Aaaaah eeh Aaah eh