[Verse 1 : Marioo]
Watu wewe
Watu ooh ooh
Lazima tupate tupate tupate
Lazima tupate ile kitu roho inapenda
Mungu kaumba vitu, kaumba watu kwa dunia
Lazima tupate ile kitu roho inapenda
We baba wa kambo mbo, bora uninyonge
Me sioi kimbaumbau najijua
We mama wa kambo mbo, bora uniuwe
Napendaga ndembendembe gwedegwede
Bora kuwa single, kuliko nusu mtu
Nataka nikipita nae, mikono juu mwendo wa mateka
[Chorus: Marioo]
Watu wewe (Watu wewe)
Watu ooh ooh (Watu ooh ooh)
Watu wewe (Watu wewe)
Watu ooh ooh (Watu ooh ooh)
[Verse 2 : D Voice]
Mambo ya mwanamke sura, misitaki mambo hayo
Mwanamke shepu, sura hata mbuzi anayo
Misipendi mademu we mbamba napenda mademu, wenye nyama nyama
Walojaza nyuma wenye misambwanda
Wakipita yani ni vidanadana
Oya wanawake wasio kuwa na shepu, kwanza wangetiwa selo
Wanajaza dunia
Kama umekosa nature from God fanya hata BBL
Nini unasubiria
Ooh mwenzenu
Nataka nikipita nae, mikono juu mwendo wa mateka
[Chorus: Marioo]
Watu wewe (Watu wewe)
Watu ooh ooh (Watu ooh ooh)
Watu wewe (Watu wewe)
Watu ooh ooh (Watu ooh ooh)