Released on November 29, 2024

7K Views

Thumbnail

[Intro: Marioo & Harmonize]

Yeah

Yow, yow, (Hehe)

(Coughs)

Bomboclaaa-, (Hehe)

Aah-ah

Kutoka, haloo


[Verse 1: Marioo]

Kama utani moyoni ameingia

Na mi nimeshazama

Tulikutana TikTok ndio mwanzo kufahamiana

Mara ghafla, bin vu!

Kila kitu tunaendana

Ameninasa ka ulimbo

Sitaki acha kumtazama, weeh


[Pre-Chorus: Marioo]

Penzi mbona limenoga

Tamu kuzidi hata soda

Penzi mbona linamwagika

Kama maji ya bomba

Penzi mbona limenoga

Tamu kuzidi hata soda

Penzi mbona linamwagika

Kama maji ya bomba


[Chorus: Marioo]

Asa nataka wajue unanipenda 'niite, "Baby"

(Baby wangu)

Kwa wasio amini we ni wangu 'niite, "My"

(My wangu)

Hata ukiniposti caption andika "Sweetie"

(Sweetie wangu)

Wakija kukutongoza waambie 'mi na mpenzi, hey

(Mpenzi wangu)


[Bridge: Harmonize]

Mh-mh

Uh...

Konde Boy call me number one


[Verse 2: Harmonize]

Muombe Mungu uzima

Tatizo la mapenzi kanituma mimi

Nikupe...

Ni kupende

Iwe madimbwi, milima

We fly any weather

Wa ubani ndio mimi wa upendo

Nikupe... (Mh-mh)

Ni kupende

Muoga wa ku-cheat, ndio huwezi

Ya uongo ndio kabisa siwezi

Nalikizama unao tamba ni mwezi

Nakuposti wajue sijiwezi baby


[Hook 1: Harmonize]

Ona, penzi mbona limenoga

Tamu kuzidi hata soda

Penzi mbona linamwagika

Kama maji ya bomba

Penzi mbona limenoga

Tamu kuzidi hata soda

Penzi mbona linamwagika

(Ah, doh)

Kama maji ya bomba

[Post-Chorus: Harmonize & Marioo]

Mi nataka wajue kama unanipenda 'niite, "Baby"

(Baby wangu)

Na kama ukiniposti Snapchat 'niite, "My"

(My wangu)

You're my one and only, my love, my sweetie

(Sweetie wangu)

Wakija kukutongoza wajibu 'wewe unaye mpenzi

(Mpenzi wangu)


[Outro: Harmonize]

Bomboclaaa-