Mmmh,mmmmh

Uwooo yeiye

(Mocco)

Mmmh,mmmmh

Ndo kusema kwamba nina bahati mbaya

Ama ni nyota imefifia ah

Maana sio kweli

Kila siku mimi ndo naumia

Ndo kusema kwamba sura yangu mbaya

Haina hulka ya kuvutia ah

Maana sio kweli

Kila siku mimi ndo naumia

Ina maana penzi

Lingekuwa chombo cha usafiri

Ningekosa hata sehemu ya kusimama

Ningewezaje? Nitawezaje?

Au labda mapenzi

Hufaa kwa matajiri

Alafu mi hapa sina maana

Sa nitaanzaje? Nitaanzaaje?

Inawezekanaje nikose kufurahi

Siku zote ninazoishi na uhai

Najua Mungu hapendi

Walimwengu mna visa

Nikisema niage nitakuwa najilaghai

Moyo utakuwa bado unanidai

Acha niweke imani

Ipo siku nitaridhishwa

Aya! Aya!

Aya! Aya!

Na sinacho maanisha mnakijua

Kuyakosa mapenzi inanitesa

Sawa nakua nayaona

Sa mbona yananizidia?

Hivi nacho maanisha mnakijua?

Upweke unanitesa

Halafu nakuwa nawaona

Wengine wanaenjoy(Aaah!)

Ingekuwa gambe

Ndio dawa ya mawazo

Ningekunywa nilewe

Aah nilewe, nilewe

Inawezekanaje nikose kufurahi

Siku zote ninazoishi na uhai

Najua Mungu hapendi

Walimwengu mna visa

Nikisema niage nitakuwa najilaghai

Moyo utakuwa bado unanidai

Acha niweke imani

Ipo siku nitaridhishwa

Aya! Aya!

Aya! Aya!

MoccoGenius!