Ukitaka kuwa dingi, 

Lazima uishi kama mimi

Uvunje makundi ya kipimbii

Ishi kama dingi, 

Usiwaze magari

Waza mali, 

Natamani nirudie fani

Niandike kama zamani

Ila haiwezekani wife ukishamuweka ndani

Nasema hiwezekani

Dingi kuwa mtumwa wa shetani

Haiwezekani dingi kuwa na mamanzi wa pembeni

Haitakikani dingi kudakwa ugoni

Dingi unaanza kumsoma usoni

Dingi unaanza kumuona nguoni

Dingi hawezi vaa hereni maskionii

Dingi mara nyingi huwezi kumkuta jikoni

Maaa .... Dingi hatumwi sokonii..

Dingii .. *3 anachonga mambo ya msingi

Dingi sio lazima kuwa na watoto shule ya msingii

Dingi huwa apendi sanaa kulamba chumvi, wazee wa chumvini hamuwezi kuwa madingiii

Babaa Heaven,Niite babaa Dominaa

Dingi lazima umpe wife heshima

Dingi sio kima, sometimes anakupima

Dingi lazima uwe na Hekima

Vinginevyo watoto watakusunyaa

SharaOut kwa mwanangu King'onde Sunyaa

Dingi ndio anajua kuzaa sio kunyaa

Dingi mtoto akizaliwa lazima umpe jina

Umfunze kujitumaa, Dingi ndio anamjengea mwanae heshimaa

Dingi sio kodingoo, Hapigi gongo

Anachapa fimboo, Dingi anacheza kwaya sio Bolingo

Dingi anaweza kutoa chongo, kama unaakili za Pongo, Dingi kama kadinali Pengo, Sometimes dingi anatoa pepo

Anakemea watoto , pamoja na kuwalea kwa upendoo, Dingi huwa na matumaini makubwa yakuiona pepo, Anapambana kwa bidii kuitengeneza kesho

         ___Your__Author__

                Lekule_Rongai___

                  (LocalModel93