Salima

By Linex

Released on March 12, 2015

Thumbnail

[Intro: Linex & Diamond Platnumz]

Je je je, ah

The VOA

Tuddy Thomas

Wasafi...


[Verse 1: Linex]

Salima, Salima, oh

Najua maisha yako

Yaliyumba pale ulipo wapoteza

Wazazi wako

Yule Salima wa jana

Sio Salima wa leo

Amekua wa kujinania

Na kujikata tamaa

Iko wapi furaha yake

Alivyokuwa nayo mwanzo

Iko wapi furaha yake

Alivyokuwa nayo mwanzo

Salima nakusanze kasuru

Kagonga wekuye tenga tinyanya

Salima chenisange nguya

Yena nasoma nawe mwengee

Salima mi ni sange yule yule

Milie soma nawe Mwenge

Zimeyayuka ndoto zako

Ulizo kuwa nazo Salima


[Chorus: Linex]

(Oh, Salima)

Mie mwenzako nakupenda

(Oh, Salima)

Mie nataka niwe wako

(Oh, Salima)

Tuwe na wana tujejenga

(Oh, Salima)

Niwe baba wa watoto

(Oh, Salima)

Mie mwenzako nakupenda

(Oh, Salima)

Mie nataka niwe wako

(Oh, Salima)

Tuwe na wana tujejenga

(Oh, Salima)

Niwe baba wa watoto

(Salima)


[Verse 2: Linex]

Naomba hiyo bahati

Ya kuishi nawe

Idondokee kwangu

Isiende kwa mwingine

Yasije kuwa kama yale

Ya mla nawe hafi nawe

Yasije kuwa kama yale

Mla nawe hafi nawe

Usijikate tamaa

Kuna wengi wana shida kuliko zako Salima

Wanaamini kupitia yule msemo

Wa ridhiki hapo mbinguni kwake

Wanaamini kupitia yule msemo

Wa ridhiki mafungu saba Salima, oh

[Chorus: Linex & Diamond Platnumz]

(Oh, Salima)

Mie mwenzako nakupenda

(Oh, Salima)

Mie nataka niwe wako

(Oh, Salima)

Tuwe na wana tujejenga

(Oh, Salima)

Niwe baba wa watoto

(Oh, Salima)

Mie mwenzako nakupenda

(Oh, Salima)

Mie nataka niwe wako (moyo wangu mama)

(Oh, Salima)

Tuwe na wana tujejenga (oh, mama)

(Oh, Salima)

Niwe baba wa watoto

(Salima)


[Verse 3: Diamond Platnumz]

Moyo unatamani

Yaani kuwa kitabu ufungue (ufungue)

Usione jinsi gani

Unavyonifanya niugue

Eh

Zenda huri nana

Uwawish

Uwawi nashisee

Mpaka kuherera baba

Utungamizi

Japo niulimishe

Utamu

Utamu moyo wangu mi kupendwa nawe

Utamu

Sa nini tatizo mami basi sema nielewe

Ah, Salima, oh oh (oh aye)

Salima, eh eh (oh aye)

Salima, oh oh (oh aye)

Salima, eh eh eh

[Chorus: Linex & Diamond Platnumz]

(Oh, Salima)

Mie mwenzako nakupenda (nakupenda sana)

(Oh, Salima)

Mie nataka niwe wako

(Oh, Salima)

Tuwe na wana tujejenga

(Oh, Salima)

Niwe baba wa watoto (mama)

(Oh, Salima)

Mie mwenzako nakupenda (oh oh)

(Oh, Salima)

Mie nataka niwe wako (moyo wangu mama)

(Oh, Salima)

Tuwe na wana tujejenga (oh, mama)

(Oh, Salima)

Niwe baba wa watoto

(Salima)


[Bridge: Linex]

I feel that I'm in love with you

I feel that my life is you

I feel that you're the only one I need

I'm gonna trust

Baby, I'm not perfect but

I'm going my all the way

And I just want to be with you

Me and you, forever and ever


[Chorus: Linex]

(Oh, Salima)

Mie mwenzako nakupenda

(Oh, Salima)

Mie nataka niwe wako

(Oh, Salima)

Tuwe na wana tujejenga

(Oh, Salima)

Niwe baba wa watoto

(Oh, Salima)

Mie mwenzako nakupenda

(Oh, Salima)

Mie nataka niwe wako

(Oh, Salima)

Tuwe na wana tujejenga

(Oh, Salima)

Niwe baba wa watoto

(Salima)


[Outro: Linex]

Wako watoto kedekede

Na watoto kedekede

Shemeji mchange

Wandese atanisaidia

(Salima, Salima, Salima)