Hizo ma issues eeyy
Mambo ni mingi eey
You know you got this eeyy
Mziki ndio dose Ndani ya dream
Me niko hussle nakanyaga this
Nilikua nkiandika uliza deski
Nilikua zone na niko class
Nilkua home na niko class
Na ina drop nkaa ime blast
How did you live ? nlikuanga nawaza
Back then i used to write some sad songs
I used to write them anthem
I used to write my journey !
I used to fight my problems!
Morio ulikuanga na problems
Si wote hukuanga na problems ! Eyy
I got my bros since back then ....- wuuh
Vinnie, Johnte ,Danteh,Markos
Marley,Ianoh then kuna Mimi - hapo kando
Bado tuko on kazi !- kazi
Kazi ni kazi me niko shughli
Tulikua tunapanga ki fom - fom
Huoni hiyo ni area ya Don - Don
Fom ilikuanga na Fom eyy
Fom ilikuanga Dope Eyy
Penda your masterplan - uhh
Penda the positive- Yuh
Pеnda your abilities -Yuh
Makes Sure uta Gain atlеast !
Penda hiyo beat ina Blast !-Blast
Penda hiyo heat uta burn !- Burn
Penda your time uta earn !-Earn
Penda your masterplan - uhhh
Penda hiyo roll utaburn ? -burn
Unataka the sauce im the one.-one
Nilianza ,kutoka day 1ne -one
So me nina target !- Yeah
So nikaanza ku get in business then nikaanza ku care my business
Then nikataka kusay the less
Then nika learn then nika grow
Then ika pass
Then nikapanga ku go my way
Then nika Koma Koma
I used to work like work
Im used to staying ma lane
Im used to respect
Im used to Loving me
Me naji jenga me
So nikaget hiyo wish - wish
Then hiyo beast na unleash -sheesh
Then nina whip na me - whip
Sai ni wish nani -wish
Soon nitaget hiyo win - win
Mbona hii beat ina feeling? Ah
Mbona hii sh*t sio easy ? Ahh
Mimi naifanya juu naipenda
Nlikuanga natrap nkiwanga tender
Whats your agenda , time ili elapse
I Mean at last naona nakuja nikiwa Fast
Eyy
Nakumbuka the times,all those times....
Sometimes we have sad days -days
Sometimes we have good days -days
But all in all those days -days
Keep moving stay in your way -way
Aai aii ai me si shindani na whoever !-whoeverrr!!!
Kuna watu however-howeverrr !!! I think im blessed tena-Tena !!! , Napenda vile hio beat inaenda -Endaa !!!...
Whats your issues tena-Tenaa ? Nani just chill kwa exit!! ... wuuh
Kuna watu so Legit - yooh
Kuna watu so edits - yooh (fake)
Eey eyy eyy king
Look Look !
You know the vibe energy- wuuh
You know the energy positive - wuuh
Sisi hatukai na negaive -sheesh
Picha ni clean no relatives !! - sheesh
You know my thing is relative ... -sheesh
...to all my works positive .- wuuh
Bado natia hiyo energy ! - Sheesh
Penda your masterplan - uhh
Penda the positive- Yuh
Penda your abilities -Yuh
Makes Sure uta Gain atleast !
Penda hiyo beat ina Blast
Penda hiyo heat uta burn !
Penda your time uta earn ! -Yuh
Penda your masterplan - uhhh
Penda hiyo roll utaburn ?
Unataka the sauce Im the 1ne
- Sheesh ....
Look!
Penda your masterplan - uhh
Penda the positive- Yuh
Penda your abilities -Yuh
Makes Sure uta Gain atleast !
Yeah yeah yeah yeah KING CEEJAY
Written by KING CEEJAY
STATE OF LORDS EMPIRE