Released on March 20, 2023

Thumbnail

Hizo ma issues eeyy

Mambo ni mingi eey

You know you got this eeyy

Mziki ndio dose Ndani ya dream

Me niko hussle nakanyaga this

Nilikua nkiandika uliza deski

Nilikua zone na niko class

Nilkua home na niko class

Na ina drop nkaa ime blast

How did you live ? nlikuanga nawaza

Back then i used to write some sad songs

I used to write them anthem

I used to write my journey !

I used to fight my problems!

Morio ulikuanga na problems

Si wote hukuanga na problems ! Eyy

I got my bros since back then ....- wuuh

Vinnie, Johnte ,Danteh,Markos

Marley,Ianoh then kuna Mimi - hapo kando

Bado tuko on kazi !- kazi

Kazi ni kazi me niko shughli

Tulikua tunapanga ki fom - fom

Huoni hiyo ni area ya Don - Don

Fom ilikuanga na Fom eyy

Fom ilikuanga Dope Eyy

Penda your masterplan - uhh

Penda the positive- Yuh

Pеnda your abilities -Yuh

Makes Sure uta Gain atlеast !

Penda hiyo beat ina Blast !-Blast

Penda hiyo heat uta burn !- Burn

Penda your time uta earn !-Earn

Penda your masterplan - uhhh

Penda hiyo roll utaburn ? -burn

Unataka the sauce im the one.-one

Nilianza ,kutoka day 1ne -one

So me nina target !- Yeah

So nikaanza ku get in business then nikaanza ku care my business

Then nikataka kusay the less

Then nika learn then nika grow

Then ika pass

Then nikapanga ku go my way

Then nika Koma Koma

I used to work like work

Im used to staying ma lane

Im used to respect

Im used to Loving me

Me naji jenga me

So nikaget hiyo wish - wish

Then hiyo beast na unleash -sheesh

Then nina whip na me - whip

Sai ni wish nani -wish

Soon nitaget hiyo win - win

Mbona hii beat ina feeling? Ah

Mbona hii sh*t sio easy ? Ahh

Mimi naifanya juu naipenda

Nlikuanga natrap nkiwanga tender

Whats your agenda , time ili elapse

I Mean at last naona nakuja nikiwa Fast

Eyy

Nakumbuka the times,all those times....

Sometimes we have sad days -days

Sometimes we have good days -days

But all in all those days -days

Keep moving stay in your way -way

Aai aii ai me si shindani na whoever !-whoeverrr!!!

Kuna watu however-howeverrr !!! I think im blessed tena-Tena !!! , Napenda vile hio beat inaenda -Endaa !!!...

Whats your issues tena-Tenaa ? Nani just chill kwa exit!! ... wuuh

Kuna watu so Legit - yooh

Kuna watu so edits - yooh (fake)

Eey eyy eyy king

Look Look !

You know the vibe energy- wuuh

You know the energy positive - wuuh

Sisi hatukai na negaive -sheesh

Picha ni clean no relatives !! - sheesh

You know my thing is relative ... -sheesh

...to all my works positive .- wuuh

Bado natia hiyo energy ! - Sheesh

Penda your masterplan - uhh

Penda the positive- Yuh

Penda your abilities -Yuh

Makes Sure uta Gain atleast !

Penda hiyo beat ina Blast

Penda hiyo heat uta burn !

Penda your time uta earn ! -Yuh

Penda your masterplan - uhhh

Penda hiyo roll utaburn ?

Unataka the sauce Im the 1ne

- Sheesh ....

Look!

Penda your masterplan - uhh

Penda the positive- Yuh

Penda your abilities -Yuh

Makes Sure uta Gain atleast !

Yeah yeah yeah yeah KING CEEJAY

Written by KING CEEJAY

STATE OF LORDS EMPIRE