Tuma Kitu

By Khaligraph Jones

Released on July 23, 2020

8K Views

Thumbnail

[Intro]

Hahahaha, OG

Tuma kitu, yeah


[Pre-Chorus]

Yo, kwa mbosho nina rwabe mbele, nyuma (Sina pesa)

Na bado inafaa nifike Ronga (Woo!)

Niko Railways, buda, nimenuna (Achana na mimi)

Najaribu kusikiza madonda (Niaje?)

Mresh keja amedai hataki sukuma (Iyee!)

Amechoka na nguo za Gikomba (Kwenda!)

Karanja kuna doh anafaa kutuma (Tuma!)

Niwekee kwa hii namba, buda, boss (One, two, three)


[Chorus]

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu

Na utume pia na ya kutoa

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu

Manze form sio poa

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu

Usisahau ya kutoa

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu

Gathee, tuma kitu


[Verse 1]

Ay, yo, all I do is win kama Khaled ama Usman Kamaru

Headbad but siingiangi booth na manyaru

Leo ni Rangey, sitaki nuks za Subaru

Mi bazenga, swag nawapigianga look ya Gumbaru

Ndo nifike hapa, Amen, ni Mungu

Hii kitu huwanga ni tamu but again ni uchungu

I remember I wanted to work for NTV

But maybe pia mi ningechujwa kama Ken Mijungu

But mi ni rapper, nawapeleka na rieng

Na kaa mashini, mi huendesha manyien

Yesu ni Baba, sitaki mezesha jachieng

"Yes Bana" inachuna tukiveveka na Bien

Hatujaanza juzi, hii ni lugha ya zamani

Jeshi yangu ya bangi huivuta hadharani

So waambieni OG amefika

Na hii ni rhumba ya Kayole, hii si rhumba ya Japani, let's go


[Pre-Chorus]

Kwa mbosho nina rwabe mbele, nyuma (Sina pesa)

Na bado inafaa nifike Ronga (Woo!)

Niko Railways, buda, nimenuna (Achana na mimi)

Najaribu kusikiza madonda (Niaje?)

Mresh keja amedai hataki sukuma (Iyee!)

Amechoka na nguo za Gikomba (Kwenda!)

Karanja kuna doh anafaa kutuma (Tuma!)

Niwekee kwa hii namba, buda, boss (One, two, three)


[Chorus]

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu

Na utume pia na ya kutoa

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu

Manze form sio poa

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu

Usisahau ya kutoa

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu

Gathee, tuma kitu


[Verse 2]

Ay, yo, nina issues kadhaa, nimefichia paparazzi rada

Na usiniite Brayo, afadhali Papa

Omollo toka Bondo, hapo shwari kaka

After nipate mchune ilibidi nisare fwaka

Na sijawahi ogopa kuwa na enemies

But after God, the only thing na-fear ni feminists

I hope I don’t get cursed for that

Don’t be surprised mkiambiwa, "This verse is whack"

Either way, niko wera, siwezi choka nichekwe

Niko hapa, niko kule, buda, mboka ni mbekse

Kakamega [?] Tanasha [?] Shikwekwe

Juu kaa form ina keroma, then I’m always interested

"Kuna deal inaivana, ikijipa nitaku-show"

Pereka hio lugha huko, we nilipe zangu doh

Hii ni language ya ma-broke, watakutoka ukisleki

So chorea kutoanishana kaa mwenyewe huchekeshi

Bomboclaat


[Pre-Chorus]

Kwa mbosho nina rwabe mbele, nyuma (Sina pesa)

Na bado inafaa nifike Ronga (Woo!)

Niko Railways, buda, nimenuna (Achana na mimi)

Najaribu kusikiza madonda (Niaje?)

Mresh keja amedai hataki sukuma (Iyee!)

Amechoka na nguo za Gikomba (Kwenda!)

Karanja kuna doh anafaa kutuma (Tuma!)

Niwekee kwa hii namba, buda, boss (One, two, three)


[Chorus]

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu

Na utume pia na ya kutoa

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu

Manze form sio poa

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu

Usisahau ya kutoa

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu

Gathee, tuma kitu


[Interlude]

Zingri umesema wasanii wanajirombosa na look hakuna kitu (Nuttin!)

Ehh? (Kujirombosa nuttin!)

Look wanakoroga mbili tatu

(Mbili tatu alafu wanashikanisha, zinakwama)

Alafu wanapeleka kiatu kwa fundi

(Hahahahahaha!)

Look ya jana (Si ya leo)

Kwa hivo (Mtu asini-mark na look)


[Verse 3]

Nairobi kila mtu celebrity, bora uko fresh na ung'are

Utajipata Obinja kaa guest wa mkare

Na ukiwa na ex na amekataa ku-move on

You probably the next topic on Edgar Obare

Mayweather, champ crew, TMT

Flex mode, boy known, check TMZ

Diss me, mi nuh care, mi got keyboard

So just you gon' be up in your DM kaa DNG

Beat bumba, vile imefungwa, utadhani Pharrell

Neptune, boom! Twaff! Kitu safi malel

Nyasae achiel, mimi sikutaki, jaber

Your rapper boyfriend amebonda, hakuwa Khali Kartel

Ndio ukuwe rapper Kenya, lazima u-diss Papa

Then ungoje uone ka mbogi itaku-discover

Weka bidii, usiketi ukingojea feature

Acha kuwa desperado, unajichomea picha

Niko mayolo na ghetto, na angolo kwa macho

Unaeza ni-follow kwa IG, mi ni Omollo jabato

Kijana kutoka Bondo, nime-rest my case

But kaa ni chupa imenibamba, most def nai-chase (No)

Bado naendelea (lea), bars zinateketea (tea)

Kazi naekelea (lea), nani anamezeshea (Yeah!)

We ndio naongelea, tracks zenyu nakojolea

Kaa ni rap, siachi juu Kenya, mi ndio inategemea (Jones, nigga)


[Pre-Chorus]

(Sina pesa)

(Woo!)

(Achana na mimi)

(Niaje?)

(Iyee!)

(Kwenda!)

(Tuma!)

(One, two, three)


[Chorus]

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu

Na utume pia na ya kutoa

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu

Manze form sio poa

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu

Usisahau ya kutoa

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu

Gathee, tuma kitu