Enjoy

By Jux

Released on July 14, 2023

7K Views

Thumbnail

[Verse 1 : Jux]

Hii leo

Acha tu niwaweke wazi

Mubaki na mishangao

Kuhusu haya mapenzi

Nataka kuyaeleza

Na leo

Tena wahiteni paparazi

Warushe kwa mitandao

Siyataki mapenzi

Nataka jipongeza

Unaemwita your baby

Kumbe nae ana baby

Ooh unaemwona kipenzi

Ni mshenzi hakupendi

Ama kweli mtihani

Mambo mengi duniani

Na mi stress siwezi

Ooooh siwezi

Aahh


[Chorus]

Bora ni Enjoy (Mmmmmh)

Maisha mafupi ni simple

Yanini niteseke roho

Jiunge nami upoze koo

Bora ni Enjoy

Maisha mafupi ni simple

Yanini niteseke roho (Ooh yanini yanini)

Jiunge nami upoze koo (Mmmh khoo khoo khoo khoo)


[Verse 2 : Diamond Platnumz]

Kama kupendaaa

Bora nimpende mama yangu (Mmmh)

Kama kupendwaa mimi iih

Nitajipenda peke yangu (Ooooh)

Kilichoniponza ufala

Kujiona simba kumbe swala

Nikazama kwenye penzi uchwala

Badala ya kusaka miamala

Aiii yooooooo oh

Toka ni date pesa (Enhee)

Sa napendeza (Enhee)

Na tena naenjoy (Enhee)

Na wanangu ma homeboy (Enhee)

Ooooh account inasoma (Enhee)

Na kamwili kananona (Enhee)

We mwenyewe si unaona yani (Enhee)

Ai nasema boraaaa


[Chorus]

Bora ni Enjoy (Piri pi pi pi pi pi pi)

Maisha mafupi ni simple (Kirii ka dakitka)

Yanini niteseke roho

(Yanini niteseke rohoo)

Jiunge nami upoze koo

(Jiunge na mimi ah)

Bora ni Enjoy (Piri pi pi pi pi pi pi)

Maisha mafupi ni simple (Kirii ka dakitka)

Yanini niteseke roho (Aaahh iyeeeeiiii ye)

Jiunge nami upoze koo (Jiunge na mimi ah)


[Bridge]

Napenda nikilewa

Nipande juu ya meza

Minjonjo

Huku natema kiingereza

Tupande juu ya meza

Tupande juu ya meza

Tupande juu ya meza

Za za za za za


[Chorus]

Bora ni Enjoy (Piri pi pi pi pi pi pi)

Maisha mafupi ni simple (Kirii ka dakitka)

Yanini niteseke roho (Ooh yanini yanini)

Jiunge nami upoze koo (Ooh khoo khoo khoo khoo)