Nimechill ndani ya cafe nikisip my coffee
Life life life life
Nimevaa my kofia I swear I no fear
No man man man man
Nimechill ndani ya cafe nikisip my coffee
Life life life life
Nimevaa my kofia I swear I no fear
No man man man man
Life inakufuck Ka Yule msee hukudinya
Unanipress ni Ka mi ndo hukufinya
Impress empress at the end atafinywa
Ikidoz kiamshwa Ka kinywa
Ulimturn on akakupea ukazima
Hii si mtama unamwaga Haungam
Ni Ka gum unadhani haikuharm
Unachew alafu later unaburn
We si Simba so you better be done (Dan)
Wewaschana bibi za watu wachan
You do it in the dark unapatwa mchan
Unadhani ni utani until iturn
On you uko solo na hakuna u turn
Life inakupika inakupita na pan
Unashikwa na bwana anakushanda na gun
Si alishandwa
Nimechill ndani ya cafe nikisip my coffee
Life life life lifе
Nimevaa my kofia I swear I no fear
No man man man man
Nimеchill ndani ya cafe nikisip my coffee
Life life life life
Nimevaa my kofia I swear I no fear
No man man man man
Light at the end of tunnel kuna giza
Hakuna njeve juu ya joto unaingiza
Unachana veve unamwacha ndethe
Uko na jibu mbona swali unauliza
Masaa unashindwa ako ameshinda masaku
Keti kitako tatua shida zako
Masaa unashindwa ako ameshinda masaku
Keti kitako tatua shida zako