Released on October 11, 2019

6K Views

Thumbnail

[Verse 1: Swat]

Go atrangi makata, chura abaki

Heri uwenki na toto uko wiki

Mteke wiki gizani mpige miti

Titititi picky titi titi titi

Pinji linki mitini kingikingi

Zigi zigi mitini mingi mini

Piki piki piki pikipongi

Cheki doggy kashorty piga quickie


[Verse 2: Exray]

Chain ori ori, niko kori kori

Mfuko pori pori ndo nimejaza kama kori

Ameshika kutu si anakaa fori fori

Shika tori tori, chezea doli doli

Teka msupa ana mabuibui

Unastuka nimekuteka na hunijui jui

Unataka stingo fulani za magui gui

Ka una swara kuja area nina chui chui ah

(Inauma but itabidi uzoee)


[Chorus: Rekles]

Nasema dam digidigi mi ni team weekendi

Kam hivi hivi tujikill videadly

Sema dam digidigi mi ni team weekendi

Kam hivi hivi tujikill videadly

Cheki, si dharau chapa nani na thao

Si dharau chapa nani na thao

Si dharau chapa nani na thao

Si dharau chapa nani na thao


[Verse 3: Seska]

Nakata waba ni-nijifry liver

Ju sijamanga mi ni kuririma

Nikiiva mali, nikiririma

Na balaa sina ngale, piga diva dimba

Kitambi ya barley, jo makeki hujipa

Wakidhani nina mali na sita sitasita

Nina makagare, izame futi sita

Akivua dungaree

Kitanker

Keg hadi cham nakunywaa

Ni tam tam, cheki have some kunyuwaa

Kahanjam kakikam mi nakiuwaa

Pongi small kama shimo ya mapua


[Verse 4: Odi Wa Murang'a]

Odi wa Murang'a wanadai niwe wao

Madem wao nawanyoroshea kwanza kwao

Ikus zao ni misitu tu ka za Mau

Na jegi zao zimesag kama toja zao

Na hivi ndo mi huingia statoe na kajaba

Na hivi ndo mi hucheza longo na wamatha

Shosho mang'uru anadai sijui kawada

Na zake zimeshika ashameza kajaba


[Chorus: Rekles]

Nasema dam digidigi mi ni team weekendi

Kam hivi hivi tujikill videadly

Sema dam digidigi mi ni team weekendi

Kam hivi hivi tujikill videadly

Cheki, si dharau chapa nani na thao

Si dharau chapa nani na thao

Si dharau chapa nani na thao

Si dharau chapa nani na thao


[Verse 5: Zilla]

Cheki ananibore kwanza za kitore

Alafu ananingorea kwanza za king'ore

Msupa utanichorea nikikupiga ngotea

Alafu utaninyorea nikikupiga ndiole

Nikikupiga ndiole, nikikupiga ndiole

Msupa utaninyorea nikikupiga ndiole

Nikikupiga ndiole, msupa utaninyorea

Msupa utaninyorea nikikupiga ndiole


[Verse 6: Maddox]

Maddox, cheki tu mahaga mi nadai kuzikemba

Mi nina kiforo kia chwani na spedi ka cheda

Vuta tu makoro na uitishe tu bartender

Wachana na hizo haga ushajua ushapenda

Parachichi sidai para ya Chichi

Nikitichi msupa adai miti

Titi titi, chikichiki

Mbleina apigwe pinji kama dingo akule minji aah

Gwiji gwiji mchezo wa anasa, ama jigi jigi aah


[Chorus: Rekles]

Nasema dam digidigi mi ni team weekendi

Kam hivi hivi tujikill videadly

Sema dam digidigi mi ni team weekendi

Kam hivi hivi tujikill videadly

Cheki, si dharau chapa nani na thao

Si dharau chapa nani na thao

Si dharau chapa nani na thao

Si dharau chapa nani na thao