Released on January 26, 2024

30K Views

Thumbnail

[Intro: Jay Melody]

Mmh, mmh

Ooh no, no, no

Jay once again


[Verse 1: Jay Melody]

Penzi zito kilo mia hamsini

Vile napata raha utaniambia nini

Kuna muda kama siamini

Na kuna muda ni kaa napendwa na jini

Maana penzi lako ndege mtini

Niko matawi ya juu nishatulia mimi

For your love let me sing, sing

Nisha kolea hatari mapenzini


[Bridge: Jay Melody]

Tamu pipi ya kijiti

(Anhaa)

Ukiilamba unacheka

Na kibaridi hiki

Niozesheni hata ndo ya mkeka

Penzi halishikiki

(Anhaa)

Linavyo tetemesha

Si tufunge muziki

Nikuonyeshe jinsi ninavyo cheza


[Chorus: Jay Melody]

Mi na mapoz na mimi

Mapoz na mi

Mi na mapoz na mimi

Mapoz na mi

Mi na mapoz na mimi

Mapoz na mi

Mi na mapoz na mimi

Mapoz na mi

Mapoz na mi

Mapozi nami, mi na mapozi nami

Mapozi nami, mi na mapozi nami

Mapozi nami, mi na mapozi nami

(Mmmh)

Mapozi nami, mi na mapozi nami


[Verse 2: Diamond Platnumz]

Na sio ndumba wala

Raha tu zimenizidi

Sio mambo ya mitaala

Penzi mwenyewe nafaidi

Nakumbatwa kwa baridi

Usinione nna ng’ara

Natunzwa al habibi

Oh, oh

Matikiti kudondoka

Matikiti kudondokea

Marafiki huwa ni nyoka

Hivyo chunga wanayo ongea

Nikande, kande nikichooka

Sio narudi unanifokea

Huenda mwenzio niliko toka

Mambo fyongo hayajaninyookea


[Bridge: Diamond Platnumz]

Tamu pipi ya kijiti (Anhaa)

Ukilamba unacheka

Na kibaridi hiki

Niozesheni hata ndoa ya mkeka

Penzi halishikiki (Anhaa)

Linavyo tetemesha jamani

Si tufunge muziki

Nikuonyeshe jinsi ninavyo cheza

[Chorus: Diamond Platnumz & Mr.Blue]

Mi na mapoz na mimi

Mapoz na mi

Mi na mapoz na mimi

Mapoz na mi

Mi na mapoz na mimi

Mapoz na mi

Mi na mapoz na mimi

Mapoz na mi

Mapoz na mi

Na mi

Mapoz na mi

Mapoz na mi

Let's go, Bizzy Babylon

Mapoz na mi

Mapoz na mi

Yente


[Verse 3: Mr. Blue]

Ngoja, huu ni usiku au mchana?

Hold up, hii ni leo au ni jana?

Mapozi na mi

Uh

Unanikumbusha ujana

(Ujana)

Roho unavyo irusha nitakuja kufa, msichana

Nimepagawa uwanjani, na sijui ngapi, ngapi

Refa ni nani?

Mbona mpira hauji kati?

Nichague kijani, yellow au purple?

Au nije muda gani?

Ili niende na wakati

Unawakanya mabishoo

Kitandani unanipa show

Mpaka nasahau Show

(Ah, wee!)

Ah, unanichanganya kwenye roho

Usije kunidanganya, no

Weka penzi, nieke dough

(Ah, wee!)


[Bridge: Mr. Blue]

Mi na mapoz na mimi

Mapoz na mi

Mi na mapoz na mimi

Mapoz na mi

Mi na mapoz na mimi

Mapoz na mi

Mi na mapoz na mimi

Mapoz na mi


[Chorus: Diamond Platnumz]

Mi na mapoz na mimi

Mapoz na mi

Mi na mapoz na mimi

Mapoz na mi

Mi na mapoz na mimi

Mapoz na mi

Mi na mapoz na mimi

Mapoz na mi


[Outro: Diamond Platnumz]

Eyo, zombie

What it do? He-he

We back

Number moja, moja, moja, moja

Hi ni sauti ya Rais

Yaani President, ha

Haujui