[Intro]
Jay once again mmmh
Nenga aaah
[Chorus : Jay Melody]
Ili penzi la ukweli baby nipe tu
Na ukinikuta nimelala unakuja juu
Tena kwa jinsi liko hot linawaka wuuu
Na ukinikumbatia moyo unadunda puuh
Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu
Oooh unadunda puuh, puuh puuh puuuu
Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu
Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu
Uh lala
[Verse 1 : Billnass]
Hi, wacha niseme kitu buu
Siwezi kukutoa machozi maana mi'sio kitungu
Kila siku kwetu sikukuu
Valentine sio inshu kwetu si ni siku tu
Najua unapenda zawadi magifit
Na ndo maama work hard niku-fix
Iwe shida ya mavazi chakula na maradhi
Sometimes niko radhi nijirisk
Nachorrahi hata nikikosa unaniombea kwa mungu
Wapo waliowahi nitosa kisa sina fungu
Nakumbuka long time, ilivyokua hard time
Kabla hujanitoa kwa ukungu
[Bridge : Billnass]
Ushaambiwa maneno shazi
Ushaambiwa me sina hadhi
Ukaambiwa mimi jambazi tapeli wa mapenzi nab ado ukanitaji
Ushaambiwa maneno shazi
Ushaambiwa me sina hadhi
Ukaambiwa mimi jambazi tapeli wa mapenzi nab ado ukanitaji
[Chorus : Jay Melody]
Ili penzi la ukweli baby nipe tu
Na ukinikuta nimelala unakuja juu
Tena kwa jinsi liko hot linawaka wuuu
Na ukinikumbatia moyo unadunda puuh
Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu
Oooh unadunda puuh, puuh puuh puuuu
Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu
Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu
Uh lala
[Verse 2 : Billnass]
Check unvopinda ukivaa unapendeza
Team ishakuamini chagua namba utakayocheza
Macho yakichookozi yan kama unakonyeza
Spending money for your love kwako nawekeza
Zuuu zuuu zuuu zuuu ushanizuzua
Nishakuvisha vyeo na hakuna hatakae kuvua
Na kitu usichojua hata wakisema unajiuza
Waambie mimi ndo ninaye kununua
[Bridge : Billnass]
Ushaambiwa maneno shaziii
Ushaambiwa me sina hadhi
Ukaambiwa mimi jambazi tapeli wa mapenzi nab ado ukanitaji
Ushaambiwa maneno shaziii
Ushaambiwa me sina hadhi
Ukaambiwa mimi jambazi tapeli wa mapenzi nab ado ukanitaji
[Chorus : Jay Melody]
Ili penzi la ukweli baby nipe tu
Na ukinikuta nimelala unakuja juu
Tena kwa jinsi liko hot linawaka wuuu
Na ukinikumbatia moyo unadunda puuh
Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu
Oooh unadunda puuh, puuh puuh puuuu
Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu
Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu
Uh lala
Mmmh mmmh mmmh mmmmh
Mmmh mmmh mmmh mmmmh